Picha za slide

Wednesday, September 3, 2014

Tuvuke Jordan



Siku ya Sabato ya Makambi katika Viwanja vya Kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni
Ni Pastor Grey  Clay Davis akihitimisha kwa neno la uzima  lililojengwa kwenye kitabu cha Yoshua 3&4 akiwa na  Mtafsiri wake  Mzee  Shani Mbibo.
 Greg Clay Davis is an engaging, captivating, passionate, highly experienced, well-traveled International Conference and Seminar Speaker, University Chaplain, Preacher and an Ordained Minister who speaks extensively on the Gospel, Family and Relationships, Youth Development, Personal Wellness and Entrepreneurship! He inspires corporate, social, and religious organizations across the globe

Makambi Magomeni Sda 2014


 Sabato ya Makambi Aug 30  katika viwanja vya Kanisa La waadventista Wasabato Magomeni.    Kutoka kushoto Mchungaji wa Kanisa la Magomeni  Pastor Safiel  Singo  Pr Mark W. Marekana  President of Eastern Tanzania Conference , Pr,Greg  Davis  na mtasfiri      Mzee wa  Kanisa Shani Kiswaga, Mchungaji  wa Mtaa wa Segerea Oscar Madatta Mashishanga  na  Mzee kiongozi wa  Kanisa la Magomeni Msafiri  Mbibo