Picha za slide

Monday, December 8, 2014

Sabato Ya Pekee!

Askofu Mkuu Wa Kanisa La Waadventista Wasabato Pr Mark Walwa Malekani akisisitiza jambo kwa Mchungaji wa Mtaa wa Ubungo  Pr Heri  Kuyenga Wakati wa Sabato  Maalumu  ya Uchangiaji wa ujenzi wa Kanisa kubwa la kisasa ambalo linatarajiwa kujengwa katika viwanja vya waadventista Wasabato Ubungo Hill.

Mti Wangu Mmoja


Siku maalumu ya uchangiaji wa MajengoMaarufu  kama Mti wangu Mmoja. Mzee wa Kanisa
 John Mwakalonge akielezea moja ya Picha ya mfano wa Kanisa linalotarajiwa kujengwa kwenye viwanja vya Kanisa La waadventista Wasabato Ubungo Hill.


Monday, December 1, 2014

Tukasa,Mabibo Hostel

 Mwinjilist L.Mwandambo akihitimisha effort iliyoandaliwa na wanafunzi wa chuo kikuu (TUKASA) kwenye viwanja vya Mabibo Hostel.Ilikuwa ni effort ya wiki mbili iliyomalizika siku ya Sabato ya
29November 2014.Kanisa la Ubungo Hill  kwa ujumla wake walishiri kwa namna ya pekee sana  siku hiyo.Ujumbe mkuu ulipatikana katika kitabu cha Waamuzi 16 juu ya Mnadhili wa Mungu Samson alivyo jiingiza kwenye mtego wa mwanamke Kahaba Delila.Effort hii iliongoa waumini wapya waliobatizwa (17) .