Picha za slide

Wednesday, January 28, 2015

Siku ya kugawa Conference


Siku maalumu ya mkutano mkuu wa kugawa konferensi  yetu na kuzaliwa konferensi mbili
(SEC) na( ECT) ni Pr Brasious  Ruguli akikagua Gwaride
Viongozi walioteuliwa kwa mkutano wa january 2015
South Eastern Conference


Mwenyekiti: Mch. Mark Walwa Malekana
Katibu: Hebert Nziku
Mhazini: Yusuph Zege
Mkurugenzi wa Huduma: Mch Toto Kusaga
Vijana: Wilfred Mafwimbo
Elimu na Mawasiliano: Abrahamu Youze
Afya na Familia: Mwaibasa Whatson
Huduma za wanawake: Bernais Luuha