Picha za slide

Sunday, March 17, 2013

ASANTENI KWA KUNIJALI

Washiriki wa matendo ya huruma wakiomba na mgonjwa  na kumpatia vitu mbalimbali  pamoja na sabuni Dawa ya mswaki,mafuta ya kupaka na vitabu .Mgonjwa Adriani alifarijika sana alipotembelewa na washiriki wa Makanisa ya Wasabato.

No comments:

Post a Comment