Picha za slide

Tuesday, February 10, 2015

Pastor Tedy Wilson

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Jakaya Mrisho Kikwete alipowakaribisha Viongozi wa kanisa la Waadventista wa Sabato Ikulu jijini Dar es Salaam na kuwa na mazungumzo  ya pamoja. Pichani kushoto ni
 Pr Blasious Ruguri  na mkewe, na Pysical therapist Nancy Louise Vollmer mke wa Pr Tedy wilson

Sherehe za Utume (Extravaganza)Dar es salaam

 Siku ya sabato ya tarehe 7 Feb 2015 Pastor Tedy N.C. Wilson katikati na Mtafsiri wake Pr Mika picha juu ,wakiwasalimu maelfu ya washiriki waliofika katika uwanja mkuu wa Taifa


Saturday, February 7, 2015

Mkutano Mkuu wa UTume (Extravaganza)

Siku  ya sherehe za Ufunguzi wa mkutano mkuu   wa Extravaganza ,kiongozi wa Kanisa La Wasabato Ulimwenguni Pr ted N. C Wilson akiwasili kwenye uwanja Mkuu wa Taifa siku ya ijumaa
 6 feb 2015.Kutoka kushoto ni Pastor G.K Lekundayo,Elizabeth  Ruguli,Pr Blasious Ruguri na
 Pr Maggulilo Mwakalonge.



 Vijana wa Pathfinder wakipiga gwaride maalum mbele ya kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa sabato Ulimwenguni, wakimkaribisha kabla ya kuingia kwenye vyumba maalumu tayari kusaini kitabu cha wageni rasmi.