Picha za slide

Tuesday, March 11, 2014

President Southern Tanzania Union.

Pr Magulilo Mwakalonge ,President wa Southern Tanzania Union akihubiri siku ya Sabato maalumu ya Muziki wa Kuabudu ndani ya Kanisa La Waadventista Wa sabato Ubungo Hill .Alizungumzia namna ambavyo tunapaswa kumuabudu Mungu wetu katika kicho na Kweli.Hata nyimbo zetu ziwe za kumtukuza Mungu  na kumwinua.Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.Alitoa mfano wa kisa cha Mwanamke Msamalia ambacho kinapatikana katika kitabu cha Yohana 4

No comments:

Post a Comment