Picha za slide

Monday, November 10, 2014

Mazishi Ya Mmisionari.

 Mchungaji Mussa Mitekero akiwa Amelibeba Jeneza La Marehemu Mrs James Twing ambaye alifariki  30july 2014 huko USA Marekani alisafirishwa na kuzikwa huko Morogoro Misufini.Mazishi yaliendeshwa na Pr David Fue.Mwili wake ulizikwa karibu na Marehemu Mumewe aliyefariki kwa ajali ya ndege 1972  Tanzania.

No comments:

Post a Comment