Picha za slide

Monday, December 8, 2014

Sabato Ya Pekee!

Askofu Mkuu Wa Kanisa La Waadventista Wasabato Pr Mark Walwa Malekani akisisitiza jambo kwa Mchungaji wa Mtaa wa Ubungo  Pr Heri  Kuyenga Wakati wa Sabato  Maalumu  ya Uchangiaji wa ujenzi wa Kanisa kubwa la kisasa ambalo linatarajiwa kujengwa katika viwanja vya waadventista Wasabato Ubungo Hill.

No comments:

Post a Comment