Picha za slide

Saturday, February 7, 2015

Mkutano Mkuu wa UTume (Extravaganza)

Siku  ya sherehe za Ufunguzi wa mkutano mkuu   wa Extravaganza ,kiongozi wa Kanisa La Wasabato Ulimwenguni Pr ted N. C Wilson akiwasili kwenye uwanja Mkuu wa Taifa siku ya ijumaa
 6 feb 2015.Kutoka kushoto ni Pastor G.K Lekundayo,Elizabeth  Ruguli,Pr Blasious Ruguri na
 Pr Maggulilo Mwakalonge.



 Vijana wa Pathfinder wakipiga gwaride maalum mbele ya kiongozi wa Kanisa la Waadventista Wa sabato Ulimwenguni, wakimkaribisha kabla ya kuingia kwenye vyumba maalumu tayari kusaini kitabu cha wageni rasmi.

No comments:

Post a Comment