Picha za slide

Saturday, July 4, 2015

MIAKA MITANO TENA

Kwa mara nyingine tena Wajumbe wa Mkutano Mkuu Wa Waadventista Wasabato jana tarehe 2  kwa kauli moja Wamempitisha tena kwa muhula wa pili Ted N.C Wilson kuwa President wa Kanisa la Wasabato Ulimwenguni .Ushindi huu ni wa zaidi ya asilimia 90

No comments:

Post a Comment