Picha za slide

Friday, April 13, 2012

Pr Ungani-Mkurugenzi wa Mawasiliano Jimbo la mashariki tanzania anaendelea na juma la uamsho hapa kanisani.

Kisa cha mwana mpotevu ndicho msingi wa mfululizo wa masomo.

Kijana mdogo, kaka mkubwa, baba na kaka mkubwa-Yesu kristo ndio wahusika wakuu

Jumamosi ya kesho tunahitimisha na SABATO YA WAGENI.

Imeandaliwa na Shule ya Sabato.


karibuni tena

No comments:

Post a Comment