Picha za slide

Wednesday, April 18, 2012

Ufunguzi wa Juma la Uamsho la Shule Ya Sabato

Tar 7/4/2012 lilifunguliwa juma la uamsho na Mch. C Ungani-Mkurugenzi wa mawasiliano jimbo la mashariki la wasabato, ambalo lilihitimishwa na SABATO YA WAGENI tar 14/4/2012. kwaya zilizoalikwa ni pamoja na Ilala, Magomeni na Kinondoni.

No comments:

Post a Comment