Picha za slide

Friday, November 23, 2012

SIKU YA MAOMBI NA KUFUNGA ULIMWENGUNI-DECEMBER 1

Raisi wa wasabato ulimwenguni ameita tar 1 disemba kama SIKU YA MAOMBI YA KIMATAIFA kuwakumbuka wenzetu wawili waliofungwa huko Togo. Habari zaidi pitia Adventist News Network. Kushoto ni mkurugenzi wa mawasiliano GC Williams Costa Jr.

No comments:

Post a Comment