Picha za slide

Sunday, July 28, 2013

Atap Program

Mwana Atap Michael Mchome akifundisha  juu ya Ujasiliamali  na maana yake halisi mbele ya washiriki wa kanisa


Maana ya Ujasiriamali:

Uwezo na nia ya kukuza biashara, kuisimamia na kukabili hatari zote ili kutengeneza faida. Mfano mzuri wa uajasiriamali ni kuanzisha biashara mpya….Business Dictionary.com
Mtu ambaye badala ya kuajiriwa, anaendesha biashara yake na kukabili hatari zote na kupata matunda ya biashara yake. Mjasiriamali ni msimamizi na mbunifu wa wa biashara au wazo la kibiasharaInvestopedia…..2004
Mjasiriamali anaefanikiwa:
Mawasiliano na wajsiriamali wengine (Networking)
Daima jiamini (Self confidence)
Fanya matangazo ya biashara yako (advertisement)
Fanya Tafiti kutafuta biashara rahisi pia inayokubalika (Research)
Kubali kujitoa pia kupoteza (Risk taking)
Fanya tathmini ya biashara yako (Business Evaluation)
Heshimu biashara yako (Self Discipline)
Fanya Biashara kwa malengo (Business objective, goals)
Mfanye Mungu kuwa wa kwanza wakati wote (God is number one)

No comments:

Post a Comment