Picha za slide

Sunday, August 11, 2013

Pastor Mange

Pastor Suleiman Mange akihubiri katika sabato ya pekee sana ndani ya kanisa la waadventist Wa sabato Ubungo Hill.
Alilenga zaidi kwenye hubiri la kaya na familia kwamba ndio msingi wa mwanadamu, Mwanzo2:18
Alisisitiza upendo kwa wana ndoa na kwa kanisa  kiujumla ,ili nuru yetu iangaze kwa mataifa.
Vijana waliaswa kuwa na mipango madhubuti katika kutafuta wenza pindi umri unapofikia ,kwani ndio mpango wa Mungu ya kwamba kuwa na mtu wa kufanana nae.

No comments:

Post a Comment