Picha za slide

Sunday, November 10, 2013

Sabato ya Vijana

Mchungaji wa Mtaa wa Ubungo Pr Michael Twakaniki akihubiri siku ya sabato ya pamoja  ya  vijana wa mtaa  wa Ubungo
Alizungumzia zaidi ni namna gani imani yetu tumeijenga
mathayo 7 :24-27
Basi kila asikiaye haya maneno yangu na kuyafanya atafananishwa na mtu  mwenye akili,aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba,mvua ikanyesha,mafuriko yakaja ,pepo zikavuma zikaipiga nyumba ile isianguke  kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba.
Alisisitiza tujenge imazi zetu juu ya mwamba na kamwe tusijenge juu ya mchanga fungu la 26

No comments:

Post a Comment