Picha za slide

Tuesday, January 21, 2014

Siku kumi za Maombi

Mchungaji wa Mtaa wa Ubungo Michael   Twakaniki   akiomba kwa unyenyekevu  siku ya sabato ya kuhitimisha siku kumi za kufunga na kuomba kwa kuungana na makanisa yote duniani katika siku hizo kumi za maombi  ndani ya kanisa la Waadventista Wa sabato Ubungo Hill.

No comments:

Post a Comment