Picha za slide

Monday, September 2, 2013

BWANA AWAJUA WALIO WAKE

Pastor Japhet Joram Machage Muhutubu mkuu wa Makambi mtaa wa Ubungo akiwa na wahubiri wenza  kushoto ni Mchungaji Reuben Kingamkono kutoka mtaa wa Chuo kikuu na katikati ni Mchungaji Sadikiel Shehemba kutoka mtaa wa Ilala na Pastor Mjoge Gasogota  hayuko pichani kutoka Gairo.
Bwana awajua walio wake 2Timotheo 2:19
Lakini Msingi  wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii Bwana awajua walio wake. na tena kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.

No comments:

Post a Comment