Picha za slide

Sunday, September 29, 2013

Shirika na Bwana

Mzee wa Kanisa John Mwakalonge kwa pamoja na Mzee kiongozi Simon nikolao kushoto wakiendesha huduma ya Meza ya Bwana
1Wakorintho 11:24
Naye akiisha kushukuru akaumega,akasema,huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu,fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu
26: Maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo

No comments:

Post a Comment